34 Yerusalemu, Yerusalemu, muuaji wa manabii na aliyewapiga mawe wale waliotumwa kwake+—nilijaribu mara ngapi kuwakusanya watoto wako, kama vile kuku anavyokusanya vifaranga wake chini ya mabawa yake! Lakini hamkutaka.+
34 Yerusalemu, Yerusalemu, muuaji+ wa manabii na anayewapiga kwa mawe+ hao waliotumwa kwake—ni mara ngapi nilitaka kuwakusanya watoto wako pamoja kama vile ambavyo kuku hukusanya vifaranga chini ya mabawa yake,+ lakini ninyi hamkutaka!+