Luka 14:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Aliposikia mambo hayo, mmoja wa wageni akamwambia: “Mwenye furaha ni yule anayekula* katika Ufalme wa Mungu.” Luka 14:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Aliposikia hayo mtu fulani kati ya wageni wenzake walioalikwa akamwambia: “Mwenye furaha ni yule anayekula mkate katika ufalme wa Mungu.”+ Luka Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 14:15 Mnara wa Mlinzi,12/15/1988, uku. 8
15 Aliposikia mambo hayo, mmoja wa wageni akamwambia: “Mwenye furaha ni yule anayekula* katika Ufalme wa Mungu.”
15 Aliposikia hayo mtu fulani kati ya wageni wenzake walioalikwa akamwambia: “Mwenye furaha ni yule anayekula mkate katika ufalme wa Mungu.”+