29 Zaidi ya hayo, watu watakuja kutoka sehemu za mashariki na za magharibi, na kutoka kaskazini na kusini,+ nao wataketi mezani katika ufalme wa Mungu.+
9 Naye ananiambia: “Andika: Wenye furaha ni wale walioalikwa+ kwenye mlo wa jioni wa ndoa ya Mwana-Kondoo.”+ Pia, ananiambia: “Hayo ndiyo maneno ya kweli ya Mungu.”+