Luka 14:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Aliposikia hayo mtu fulani kati ya wageni wenzake walioalikwa akamwambia: “Mwenye furaha ni yule anayekula mkate katika ufalme wa Mungu.”+ Luka 22:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 kwa maana ninawaambia ninyi, Sitaila tena mpaka itakapokuwa imetimizwa katika ufalme wa Mungu.”+ Matendo 2:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Kwa maana ahadi+ ni kwenu na kwa watoto wenu na kwa wale wote walio mbali,+ wengi kadiri ambayo Yehova Mungu wetu huenda akawaita kwake.”+ Ufunuo 5:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Nao wanaimba wimbo mpya,+ wakisema: “Wewe unastahili kukichukua kile kitabu cha kukunjwa na kufungua mihuri yake, kwa sababu ulichinjwa na kwa damu+ yako ukamnunulia+ Mungu+ watu kutoka katika kila kabila na lugha na watu na taifa,
15 Aliposikia hayo mtu fulani kati ya wageni wenzake walioalikwa akamwambia: “Mwenye furaha ni yule anayekula mkate katika ufalme wa Mungu.”+
39 Kwa maana ahadi+ ni kwenu na kwa watoto wenu na kwa wale wote walio mbali,+ wengi kadiri ambayo Yehova Mungu wetu huenda akawaita kwake.”+
9 Nao wanaimba wimbo mpya,+ wakisema: “Wewe unastahili kukichukua kile kitabu cha kukunjwa na kufungua mihuri yake, kwa sababu ulichinjwa na kwa damu+ yako ukamnunulia+ Mungu+ watu kutoka katika kila kabila na lugha na watu na taifa,