Luka 13:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Zaidi ya hayo, watu watakuja kutoka sehemu za mashariki na za magharibi, na kutoka kaskazini na kusini,+ nao wataketi mezani katika ufalme wa Mungu.+ Luka 14:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Aliposikia hayo mtu fulani kati ya wageni wenzake walioalikwa akamwambia: “Mwenye furaha ni yule anayekula mkate katika ufalme wa Mungu.”+
29 Zaidi ya hayo, watu watakuja kutoka sehemu za mashariki na za magharibi, na kutoka kaskazini na kusini,+ nao wataketi mezani katika ufalme wa Mungu.+
15 Aliposikia hayo mtu fulani kati ya wageni wenzake walioalikwa akamwambia: “Mwenye furaha ni yule anayekula mkate katika ufalme wa Mungu.”+