14 Na uzao wako utakuwa kama chembe za mavumbi ya dunia,+ nawe hakika utaenea kotekote upande wa magharibi na wa mashariki na wa kaskazini na wa kusini,+ na kupitia kwako na kupitia kwa uzao wako familia zote za nchi hakika zitajibariki.+
19 Nao wataanza kuliogopa jina la Yehova kutoka magharibi,+ na kutoka mashariki utukufu wake,+ kwa maana ataingia kama mto wenye kutaabisha, ambao roho ya Yehova imeuendesha.+