13 Baada ya siku chache, yule mwana mdogo akakusanya vitu vyake vyote akasafiri kwenda nchi ya mbali, akiwa huko akatumia vibaya mali yake kwa kuishi maisha ya anasa.*
13 Baadaye, baada ya siku zisizokuwa nyingi, mwana huyo mdogo akakusanya pamoja vitu vyote akasafiri ng’ambo na kwenda nchi ya mbali, na huko akatapanya mali yake kwa kuishi maisha ya upotovu.+