28 “Mwalimu, Musa alituandikia, ‘Ndugu ya mtu akifa na kumwacha mke, lakini hakuwa na mtoto, ndugu yake anapaswa kumchukua mke huyo ili kumwinulia ndugu yake uzao.’+
28 wakisema: “Mwalimu, Musa+ alituandikia, ‘Ndugu ya mtu akifa akiwa na mke, lakini hakuwa na mtoto, ndugu yake+ anapaswa kumchukua mke huyo na kumwinulia ndugu yake uzao kutoka kwa mwanamke huyo.’+