8 Herode alipomwona Yesu alifurahi sana. Kwa maana kwa muda mrefu alitaka kumwona Yesu kwa sababu alikuwa amesikia mengi kumhusu,+ na alitamani kumwona akifanya miujiza.
8 Herode alipomwona Yesu alishangilia sana, kwa maana kwa muda mrefu alikuwa akitaka kumwona+ kwa sababu alikuwa amesikia+ juu yake, na alikuwa akitumaini kuona ishara fulani kutoka kwake.