Luka 23:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 akawaambia: “Mliniletea mtu huyu mkisema anachochea watu kuasi. Tazama! Nilimhoji mbele yenu lakini sikupata msingi wa mashtaka yenu dhidi yake.+ Luka 23:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 na kuwaambia: “Mliniletea mtu huyu kama mtu anayewachochea watu waasi, na, tazameni! mimi nilimhoji mbele yenu lakini sikupata katika mtu huyu msingi+ wa mashtaka mnayoleta juu yake.
14 akawaambia: “Mliniletea mtu huyu mkisema anachochea watu kuasi. Tazama! Nilimhoji mbele yenu lakini sikupata msingi wa mashtaka yenu dhidi yake.+
14 na kuwaambia: “Mliniletea mtu huyu kama mtu anayewachochea watu waasi, na, tazameni! mimi nilimhoji mbele yenu lakini sikupata katika mtu huyu msingi+ wa mashtaka mnayoleta juu yake.