Luka 23:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Walipokuwa wakienda naye, wakamshika Simoni wa Kirene, aliyekuwa akitoka mashambani, nao wakamtwika mti wa mateso* aubebe na kumfuata Yesu.+ Luka 23:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Sasa walipokuwa wakimpeleka, walimshika Simoni, mzaliwa wa Kirene, akija kutoka mashambani, nao wakamtwika mti wa mateso aubebe nyuma ya Yesu.+ Luka Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 23:26 Yesu—Njia, kur. 296-297 Mnara wa Mlinzi,7/15/1992, uku. 6 Neno la Mungu, uku. 96
26 Walipokuwa wakienda naye, wakamshika Simoni wa Kirene, aliyekuwa akitoka mashambani, nao wakamtwika mti wa mateso* aubebe na kumfuata Yesu.+
26 Sasa walipokuwa wakimpeleka, walimshika Simoni, mzaliwa wa Kirene, akija kutoka mashambani, nao wakamtwika mti wa mateso aubebe nyuma ya Yesu.+