Yohana 3:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Yeyote anayemwamini* hatahukumiwa.+ Yeyote ambaye hamwamini amehukumiwa tayari, kwa sababu hana imani* katika jina la Mwana mzaliwa pekee wa Mungu.+ Yohana 3:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Yule anayemwamini hatahukumiwa.+ Yule ambaye hamwamini amehukumiwa tayari, kwa sababu hana imani katika jina la Mwana mzaliwa-pekee wa Mungu.+ Yohana Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 3:18 w08 12/15 12 Yohana Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 3:18 Mnara wa Mlinzi,12/15/2008, uku. 12 Utatu, kur. 15-16
18 Yeyote anayemwamini* hatahukumiwa.+ Yeyote ambaye hamwamini amehukumiwa tayari, kwa sababu hana imani* katika jina la Mwana mzaliwa pekee wa Mungu.+
18 Yule anayemwamini hatahukumiwa.+ Yule ambaye hamwamini amehukumiwa tayari, kwa sababu hana imani katika jina la Mwana mzaliwa-pekee wa Mungu.+