46 Kisha Yesu akaja tena Kana ya Galilaya, ambako alikuwa amegeuza maji kuwa divai.+ Basi kulikuwa na ofisa fulani wa mfalme ambaye mwana wake alikuwa mgonjwa huko Kapernaumu.
46 Basi akaja tena mpaka Kana+ ya Galilaya, ambako alikuwa amegeuza maji yakawa divai.+ Basi kulikuwako mtumishi fulani wa mfalme ambaye mwana wake alikuwa mgonjwa katika Kapernaumu.+