Yohana 7:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kulikuwa na minong’ono mingi kumhusu katika umati. Baadhi yao walisema: “Yeye ni mtu mwema.” Nao wengine wakasema: “Hapana. Anaupotosha umati.”+ Yohana 7:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na umati ulikuwa ukinong’onezana mambo mengi juu yake.+ Baadhi yao wakawa wakisema: “Yeye ni mtu mwema.” Wengine wakawa wakisema: “Sivyo, bali yeye anaupotosha umati.”
12 Kulikuwa na minong’ono mingi kumhusu katika umati. Baadhi yao walisema: “Yeye ni mtu mwema.” Nao wengine wakasema: “Hapana. Anaupotosha umati.”+
12 Na umati ulikuwa ukinong’onezana mambo mengi juu yake.+ Baadhi yao wakawa wakisema: “Yeye ni mtu mwema.” Wengine wakawa wakisema: “Sivyo, bali yeye anaupotosha umati.”