42 Yesu akawaambia: “Kama Mungu angekuwa Baba yenu, mngenipenda,+ kwa maana nilitoka kwa Mungu nami nipo hapa. Sikuja kwa uamuzi wangu mwenyewe, bali Yeye ndiye aliyenituma.+
42 Yesu akawaambia: “Kama Mungu angekuwa ndiye Baba yenu, mngenipenda,+ kwa maana nilitoka kwa Mungu nami nipo hapa.+ Wala sikuja kwa uamuzi wangu mwenyewe hata kidogo, lakini Huyo alinituma.+