35 Basi Yesu akawaambia: “Nuru itakuwa miongoni mwenu kwa muda kidogo zaidi. Tembeeni wakati bado mna nuru, ili giza lisiwazidi nguvu; yeyote anayetembea katika giza hajui anakoenda.+
35 Kwa hiyo Yesu akawaambia: “Nuru itakuwa kati yenu kwa muda kidogo zaidi. Tembeeni wakati mna nuru, ili giza+ lisiwazidi nguvu; na yule ambaye hutembea katika giza hajui anakoenda.+