29 Kwa kuwa Yuda alikuwa akitunza sanduku la pesa,+ baadhi yao walifikiri Yesu alikuwa akimwambia, “Nunua vitu tunavyohitaji kwa ajili ya sherehe,” au kwamba anapaswa kuwapa maskini kitu fulani.
29 Kwa kweli, baadhi yao walikuwa wakifikiri, kwa kuwa Yuda alikuwa akilishika sanduku la pesa,+ kwamba Yesu alikuwa akimwambia: “Nunua vitu ambavyo tunahitaji kwa ajili ya sherehe,” au kwamba awape maskini kitu fulani.+