Yohana 18:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Mmoja wa watumwa wa kuhani mkuu, aliyekuwa mtu wa ukoo wa yule aliyekatwa sikio+ na Petro, akasema: “Nilikuona katika bustani pamoja naye, sivyo?” Yohana 18:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Mmoja wa watumwa wa kuhani mkuu, akiwa ni jamaa ya mtu ambaye Petro alikata sikio lake,+ akasema: “Mimi nilikuona katika bustani pamoja naye, sivyo?” Yohana Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 18:26 Mnara wa Mlinzi,11/15/1990, uku. 8
26 Mmoja wa watumwa wa kuhani mkuu, aliyekuwa mtu wa ukoo wa yule aliyekatwa sikio+ na Petro, akasema: “Nilikuona katika bustani pamoja naye, sivyo?”
26 Mmoja wa watumwa wa kuhani mkuu, akiwa ni jamaa ya mtu ambaye Petro alikata sikio lake,+ akasema: “Mimi nilikuona katika bustani pamoja naye, sivyo?”