20 Petro alipogeuka, akamwona mwanafunzi ambaye Yesu alimpenda+ akiwafuata, yule ambaye kwenye mlo wa jioni alikuwa ameegemea nyuma kifuani pa Yesu, akamuuliza: “Bwana, ni nani anayekusaliti?”
20 Petro alipogeuka, alimwona mwanafunzi ambaye Yesu alikuwa akimpenda,+ akifuata, yule ambaye kwenye mlo wa jioni alikuwa pia ameegemea nyuma kifuani pake akasema: “Bwana, ni nani anayekusaliti?”