3 Baada ya kuteseka, alijionyesha kwao akiwa hai kupitia uthibitisho mwingi wenye kusadikisha.+ Walimwona kwa siku 40, naye alizungumza nao kuhusu Ufalme wa Mungu.+
3 Kwa uthibitisho mwingi ulio hakika, alijionyesha kwa hawa pia akiwa hai alipokuwa ameteseka,+ nao wakamwona kwa siku 40 na kusema juu ya ufalme wa Mungu.+