Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 28:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na tazama! Yesu akakutana nao na kuwaambia: “Siku njema!” Wakamkaribia, wakamshika miguu na kumsujudia.*

  • Yohana 20:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Ilipofika jioni siku hiyo, siku ya kwanza ya juma, milango ikiwa imefungwa mahali ambapo wanafunzi walikuwa kwa sababu ya kuwaogopa Wayahudi, Yesu akaja na kusimama katikati yao na kuwaambia: “Na muwe na amani.”+

  • 1 Wakorintho 15:4-7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 na kwamba alizikwa,+ ndiyo, kwamba alifufuliwa+ siku ya tatu+ kulingana na Maandiko;+ 5 na kwamba alimtokea Kefa,*+ kisha wale 12.+ 6 Baadaye aliwatokea ndugu zaidi ya 500 kwa wakati mmoja,+ na wengi kati yao bado tuko nao, ingawa wengine wamelala usingizi katika kifo. 7 Baadaye alimtokea Yakobo,+ kisha mitume wote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki