-
1 Wakorintho 15:4-7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
4 na kwamba alizikwa,+ ndiyo, kwamba alifufuliwa+ siku ya tatu+ kulingana na Maandiko;+ 5 na kwamba alimtokea Kefa,*+ kisha wale 12.+ 6 Baadaye aliwatokea ndugu zaidi ya 500 kwa wakati mmoja,+ na wengi kati yao bado tuko nao, ingawa wengine wamelala usingizi katika kifo. 7 Baadaye alimtokea Yakobo,+ kisha mitume wote.+
-