Mathayo 10:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Haya ndiyo majina ya wale mitume 12:+ Simoni, aitwaye Petro,+ na Andrea+ ndugu yake; Yakobo na Yohana+ wana wa Zebedayo; Luka 24:33, 34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Saa hiyohiyo wakaondoka na kurudi Yerusalemu, wakawakuta wale 11 na watu waliokusanyika pamoja nao, 34 wakasema: “Kwa kweli Bwana alifufuliwa naye alimtokea Simoni!”+
2 Haya ndiyo majina ya wale mitume 12:+ Simoni, aitwaye Petro,+ na Andrea+ ndugu yake; Yakobo na Yohana+ wana wa Zebedayo;
33 Saa hiyohiyo wakaondoka na kurudi Yerusalemu, wakawakuta wale 11 na watu waliokusanyika pamoja nao, 34 wakasema: “Kwa kweli Bwana alifufuliwa naye alimtokea Simoni!”+