10 Wakaanza kutambua kwamba huyu ndiye mtu aliyekuwa akiketi kwenye Lango Zuri la hekalu+ akisubiri zawadi za rehema, nao wakashangaa sana na kushangilia kuhusu jambo lililotokea.
10 Zaidi ya hayo, wakaanza kumtambua, kwamba huyu ndiye mtu aliyekuwa akiketi kwa ajili ya zawadi za rehema penye Lango Zuri+ la hekalu, nao wakajawa na mshangao na shangwe+ kwa sababu ya jambo lililokuwa limetukia kwake.