2 na mwanamume fulani aliyekuwa kilema tangu alipokuwa katika tumbo la uzazi la mama yake+ alikuwa akibebwa, nao walikuwa wakimweka kila siku karibu na mlango wa hekalu ulioitwa Mzuri,+ ili kuomba zawadi za rehema kutoka kwa wale waliokuwa wakiingia katika hekalu.+