32 Isitoshe, umati uliokuwa umeamini ulikuwa na moyo na nafsi* moja, na hakuna hata mmoja wao aliyeona vitu vyake kuwa mali yake mwenyewe, bali walishiriki pamoja vitu vyote walivyokuwa navyo.+
32 Zaidi ya hayo, umati wa waliokuwa wameamini ulikuwa na moyo na nafsi moja,+ na hakuna hata mmoja aliyekuwa akisema kwamba chochote kati ya vitu vilivyokuwa mali yake kilikuwa chake mwenyewe; bali walikuwa na vitu vyote kwa ushirika.+