28 akisema: “Tuliwakataza kabisa msifundishe kwa msingi wa jina hili,+ na bado tazama! mmejaza Yerusalemu fundisho lenu, nanyi mmeazimia kuileta damu ya mtu huyu juu yetu.”+
28 na kusema: “Hakika tuliwaagiza+ msiendelee kufundisha juu ya msingi wa jina hili, na bado, tazameni! mmejaza Yerusalemu fundisho lenu,+ nanyi mnaazimia kuileta damu+ ya mtu huyu juu yetu.”