40 Ndipo wakasikiliza ushauri wake, wakawaita mitume, wakawapiga viboko,+ na kuwaagiza waache kusema kwa msingi wa jina la Yesu, kisha wakawaacha waende.
40 Ndipo wakamsikiliza, nao wakawaita mitume, wakawapiga viboko,+ na kuwaagiza waache kusema juu ya msingi wa jina la Yesu,+ kisha wakawaacha waende zao.