6Basi katika siku hizo, wanafunzi walipokuwa wakiongezeka, Wayahudi waliozungumza Kigiriki walianza kulalamika kuhusu Wayahudi waliozungumza Kiebrania, kwa sababu wajane wao walikuwa wakipuuzwa katika ugawaji wa kila siku.+
6Basi katika siku hizo, wanafunzi walipokuwa wakiongezeka, Wayahudi wenye kusema Kigiriki+ walianza kunung’unika juu ya Wayahudi wenye kusema Kiebrania, kwa sababu wajane wao walikuwa hawaangaliwi katika ugawaji wa kila siku.+