Matendo 4:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 nao walikuwa wakiziweka miguuni pa mitume.+ Na kila mmoja alikuwa akigawiwa,+ kulingana na uhitaji wake. 1 Timotheo 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Waheshimu wajane ambao ni wajane kwelikweli.+ Yakobo 1:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Namna ya ibada iliyo safi+ na isiyotiwa unajisi+ kwa maoni ya Mungu wetu na Baba ni hii: kuwatunza mayatima+ na wajane+ katika dhiki+ yao, na kuendelea kujitunza bila doa+ kutokana na ulimwengu.+
35 nao walikuwa wakiziweka miguuni pa mitume.+ Na kila mmoja alikuwa akigawiwa,+ kulingana na uhitaji wake.
27 Namna ya ibada iliyo safi+ na isiyotiwa unajisi+ kwa maoni ya Mungu wetu na Baba ni hii: kuwatunza mayatima+ na wajane+ katika dhiki+ yao, na kuendelea kujitunza bila doa+ kutokana na ulimwengu.+