6 Isitoshe, Mungu alimwambia kwamba wazao* wake wangekuwa wageni katika nchi ambayo si yao na kwamba watu wa nchi hiyo wangewafanya kuwa watumwa na kuwatesa* kwa miaka 400.+
6 Zaidi ya hayo, Mungu alisema hivi, kwamba uzao wake ungekuwa wakaaji wageni+ katika nchi ya kigeni+ na watu hao wangewafanya watumwa na kuwatesa kwa miaka mia nne.+