45 Nao mababu zetu wakalimiliki na kulileta pamoja na Yoshua kwenye nchi iliyomilikiwa na mataifa,+ ambayo Mungu aliyafukuza kutoka mbele ya mababu zetu.+ Nalo likakaa huko mpaka siku za Daudi.
45 Na mababu zetu waliolirithi waliliingiza pamoja na Yoshua+ ndani ya nchi iliyomilikiwa na mataifa,+ ambayo Mungu aliyafukuza kutoka mbele ya mababu zetu.+ Lilibaki humo mpaka siku za Daudi.