2 na kumwomba barua za kwenda kwenye masinagogi huko Damasko, ili awakamate wanaume na wanawake walioifuata Ile Njia,+ na kuwaleta Yerusalemu wakiwa wamefungwa.
2 na kumwomba barua za kwenda kwenye masinagogi katika Damasko, ili apate kuwaleta Yerusalemu wakiwa wamefungwa wowote ambao angewapata walio wa Ile Njia,+ wanaume na wanawake.