21 Lakini wote waliomsikia wakashangaa nao wakawa wakisema: “Je, huyu si yule mtu aliyewaangamiza+ wale walio katika Yerusalemu wanaoliitia jina hilo, na aliyekuwa amekuja hapa kwa kusudi hilo hilo, ili apate kuwapeleka wakiwa wamefungwa kwa wakuu wa makuhani?”+