Matendo 10:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kornelio akamkazia macho, akiwa na hofu, na kumuuliza: “Kuna nini, Bwana?” Akamwambia: “Mungu amesikia sala zako na kuona zawadi zako za rehema, naye anazikumbuka.+ Matendo 10:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mtu huyo akamtazama na, akiogopa, akasema: “Ni nini, Bwana?” Akamwambia: “Sala+ na zawadi zako za rehema zimepanda kama ukumbusho mbele za Mungu.+ Matendo Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 10:4 Mnara wa Mlinzi,6/1/1990, kur. 18-191/15/1990, uku. 6
4 Kornelio akamkazia macho, akiwa na hofu, na kumuuliza: “Kuna nini, Bwana?” Akamwambia: “Mungu amesikia sala zako na kuona zawadi zako za rehema, naye anazikumbuka.+
4 Mtu huyo akamtazama na, akiogopa, akasema: “Ni nini, Bwana?” Akamwambia: “Sala+ na zawadi zako za rehema zimepanda kama ukumbusho mbele za Mungu.+