30 Ndipo Kornelio akasema: “Siku nne zilizopita wakati kama huu, nilikuwa nikisali katika nyumba yangu saa tisa;* wakati huohuo mwanamume aliyevaa mavazi yanayong’aa akasimama mbele yangu
30 Basi Kornelio akasema: “Siku nne zilizopita kutoka saa hii nilikuwa nikisali katika nyumba yangu saa tisa,+ wakati, tazama! mwanamume aliyekuwa amevaa vazi linalong’aa+ alisimama mbele yangu