33 Mara moja nikawatuma watu kwako, nawe umefanya vizuri kuja hapa. Basi sote tupo mbele za Mungu ili kuyasikia mambo yote ambayo Yehova* amekuamuru useme.”
33 Kwa hiyo mara moja nikatuma watu kwako, nawe ukafanya vema kuja hapa. Na kwa hiyo wakati huu sisi sote tupo mbele za Mungu kuyasikia mambo yote ambayo umeamriwa na Yehova kusema.”+