19 Sasa wale waliokuwa wametawanyika+ kwa sababu ya dhiki iliyotokea kuhusiana na Stefano, wakaenda mpaka Foinike, Kipro, na Antiokia, lakini walitangaza lile neno kwa Wayahudi tu.+
19 Kwa sababu hiyo wale waliokuwa wametawanywa+ na dhiki iliyotokea kwa sababu ya Stefano wakapita kwenda mpaka Foinike+ na Kipro+ na Antiokia, lakini hawakusema lile neno kwa yeyote ila kwa Wayahudi tu.+