43 Baada ya kusanyiko la sinagogi kumalizika, Wayahudi wengi na wageuzwa imani waliomwabudu Mungu wakawafuata Paulo na Barnaba, ambao walisema nao na kuwahimiza waendelee kubaki katika fadhili zisizostahiliwa za Mungu.+
43 Kusanyiko la sinagogi lilipomalizika, wengi kati ya Wayahudi na kati ya wageuzwa-imani waliomwabudu Mungu wakawafuata Paulo na Barnaba,+ ambao walisema nao na kuanza kuwahimiza+ waendelee kubaki katika fadhili zisizostahiliwa za Mungu.+