-
Matendo 13:43Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
43 Kwa hiyo baada ya kusanyiko la sinagogi kufumuliwa, wengi kati ya Wayahudi na kati ya wageuzwa-imani walioabudu Mungu walifuata Paulo na Barnaba, ambao wakisema nao walianza kuwahimiza waendelee katika fadhili isiyostahiliwa ya Mungu.
-