3 Basi wakatumia muda mrefu wakizungumza kwa ujasiri kwa mamlaka ya Yehova,* aliyetoa ushahidi kuhusu neno la fadhili zake zisizostahiliwa kwa kuwaruhusu wafanye ishara na mambo ya ajabu.*+
3 Kwa hiyo wakatumia muda mrefu wakisema kwa ujasiri kwa mamlaka ya Yehova, aliyetoa ushahidi kuhusu neno la fadhili zake zisizostahiliwa kwa kuruhusu ishara na mambo ya ajabu kutukia kupitia kwa mikono yao.+