12 Ndipo kikundi chote kikanyamaza na kuanza kuwasikiliza Barnaba na Paulo wakisimulia ishara nyingi na mambo ya ajabu* ambayo Mungu alifanya kupitia kwao miongoni mwa mataifa.
12 Ndipo umati mzima ukanyamaza, nao wakaanza kuwasikiliza Barnaba na Paulo wakieleza ishara nyingi na mambo mengi ya ajabu ambayo Mungu alifanya kupitia kwao katikati ya mataifa.+