36 Baada ya siku kadhaa, Paulo akamwambia Barnaba: “Turudi* tukawatembelee akina ndugu katika kila jiji ambalo tulitangaza neno la Yehova* tuone jinsi wanavyoendelea.”+
36 Sasa baada ya siku kadhaa Paulo akamwambia Barnaba: “Zaidi ya mambo yote, na turudi tuwatembelee akina ndugu katika kila moja la majiji ambamo tulitangaza neno la Yehova tuone jinsi walivyo.”+