-
Matendo 15:36Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
36 Sasa baada ya siku kadhaa Paulo akamwambia Barnaba: “Zaidi ya mambo yote, na turudi tuwazuru akina ndugu katika kila moja la majiji ambamo katika hayo tulitangaza neno la Yehova tuone jinsi walivyo.”
-