Matendo 16:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Mlinzi wa jela alipoamka na kuona milango ya gereza imefunguka, akauchomoa upanga wake naye karibu ajiue, akidhani wafungwa walikuwa wametoroka.+ Matendo 16:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Mlinzi wa jela, alipoamka kutoka usingizini na kuona milango ya gereza ilikuwa imefunguka, akauchomoa upanga wake na alikuwa karibu kujiua,+ akiwazia kwamba wafungwa walikuwa wametoroka.+ Matendo Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 16:27 Mnara wa Mlinzi,6/15/1990, kur. 16-175/15/1990, uku. 25
27 Mlinzi wa jela alipoamka na kuona milango ya gereza imefunguka, akauchomoa upanga wake naye karibu ajiue, akidhani wafungwa walikuwa wametoroka.+
27 Mlinzi wa jela, alipoamka kutoka usingizini na kuona milango ya gereza ilikuwa imefunguka, akauchomoa upanga wake na alikuwa karibu kujiua,+ akiwazia kwamba wafungwa walikuwa wametoroka.+