28 Kwa maana kupitia kwake tuko hai, tunatembea, na tunaishi, hata kama vile ambavyo baadhi ya washairi wenu wamesema, ‘Kwa maana sisi pia ni watoto* wake.’
28 Kwa maana kupitia kwake tuna uhai na tunaenda na kuwako,+ hata kama vile ambavyo watu fulani ambao ni washairi+ kati yenu wamesema, ‘Kwa maana sisi pia ni uzao wake.’