-
Matendo 18:14Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
14 Lakini Paulo alipokuwa karibu kuzungumza, Galio akawaambia Wayahudi: “Enyi Wayahudi, kama kweli lingekuwa kosa fulani au uhalifu mkubwa, ningekuwa na sababu ya kuwasikiliza kwa subira.
-
-
Matendo 18:14Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
14 Lakini Paulo alipokuwa akitaka kufungua kinywa chake, Galio akawaambia Wayahudi: “Kama kwa kweli lingekuwa ni kosa fulani au tendo baya la uhalifu, enyi Wayahudi, ningekuwa na sababu ya kuwavumilia ninyi.
-