-
Matendo 18:14Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
14 Lakini Paulo alipokuwa karibu kuzungumza, Galio akawaambia Wayahudi: “Enyi Wayahudi, kama kweli lingekuwa kosa fulani au uhalifu mkubwa, ningekuwa na sababu ya kuwasikiliza kwa subira.
-
-
Matendo 18:14Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
14 Lakini Paulo alipokuwa akitaka kufungua kinywa chake, Galio akawaambia Wayahudi: “Kama ingekuwa, kwa kweli, ni kosa fulani au tendo ovu la ulaghai, Enyi Wayahudi, ningechukuliana nanyi kwa subira nikiwa na sababu.
-