25 Mwanamume huyu alikuwa amefundishwa* njia ya Yehova,* na akiwa amewaka roho, alikuwa akizungumza na kufundisha kwa usahihi kumhusu Yesu, lakini alifahamu ubatizo wa Yohana tu.
25 Mwanamume huyu alikuwa amefundishwa njia ya Yehova kwa mdomo, kwa kuwa alikuwa amewaka roho,+ akaanza kusema na kuyafundisha kwa usahihi mambo juu ya Yesu, lakini akiwa anaufahamu ubatizo+ wa Yohana tu.