32 Na sasa ninawakabidhi ninyi kwa Mungu na kwa neno la fadhili zake zisizostahiliwa, ambalo linaweza kuwajenga na kuwapa urithi kati ya wale wote waliotakaswa.+
32 Na sasa ninawaweka ninyi mikononi mwa Mungu+ na kwa neno la fadhili zake zisizostahiliwa, neno ambalo linaweza kuwajenga+ na kuwapa urithi kati ya wale wote waliotakaswa.+