40 Baada ya kupewa ruhusa, Paulo, akiwa amesimama kwenye ngazi, akawapungia watu mkono. Waliponyamaza kabisa, akawahutubia kwa lugha ya Kiebrania,+ akisema:
40 Baada ya kutoa ruhusa, Paulo, akiwa amesimama juu ya ngazi, akawapungia+ watu mkono wake. Kulipokuwa na kimya kikubwa, akawahutubia kwa lugha ya Kiebrania,+ akisema: